Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Baraza kwa kushirikiana na kituo cha Sayansi (CSE) India wazindua mkakati wa kuboresha ubora wa maji ya ziwa victoria.
TANZANIA KWA KUSHIRIKIANA NA MATAIFA MBALIMBALI YASHIRIKI MKUTANO WENYE LENGO LA KUBORESHA MFUMO WA UKUSANYAJI TAKA NGUMU.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. Dkt Selemani Jafo ashiriki upandaji miti ya mikoko wilayani Bagamoyo
Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Dkt. Samuel Gwamaka akiongea na vyombo vya Habari kuhusu kuupiga faini ya shilingi bilioni moja mgodi waWilliamson Diamond.
Watumishi wa NEMC pamoja na watumishi kutoka Benki Kuu ya Dunia wakiwa katika picha ya pamoja
Bodi ya Wakurugenzi ya NEMC imetembelea Mgodi wa dhahabu wa Geita.
Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Dkt. Samuel Gwamaka akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu vifungashio vinavyokidhi viwango.